iqna

IQNA

Javad Zarif
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mauaji ya kimbari ya maelfu ya Waislamu wa Srebrenica yalifanyika kutokana na Ulaya kufeli kutekeleza majukumu yake ya msingi.
Habari ID: 3472955    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/12

TEHRAN (IQNA)- Rais Bashar la Assad wa Syria leo amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif mjini Damascus ambapo wamejadili masuala mbalimbali ya pande mbili, kieneo na kimataifa.
Habari ID: 3472683    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/20